Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM wajielekeza kurejesha amani Mali.

UM wajielekeza kurejesha amani Mali.

Mali taifa lililoko magharibi mwa Afrika limekumbwa na migogoro ya wenyewe kwa wenyewe iliyosababisha kuporomoka kwa uchumi wa nchi hiyo. Ungana na Joseph Msami katika ripoti inayoangazia juhudi za Umoja wa mataifa katika kurejesha amani nchini humo.