Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watanzania waadhimisha miaka 49 ya muungano mjini New York,watoa wito kero za Muungano zitatuliwe

Watanzania waadhimisha miaka 49 ya muungano mjini New York,watoa wito kero za Muungano zitatuliwe

 

Mwishoni mwa wiki Watanzania wanaoishi mjini New York na vitongoji vyake waliungana na watanzania wengine kuadhimisha miaka 49 ya muungano wa Tanganyika na Zainzibar ulioasisiwa mwaka 1964. Joseph Msami ameandaa makala ifuatayo kufahamu nini kilijiri katika siku hiyo.