Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mahitaji yameongezeka nchini Chad:IOM

Mahitaji yameongezeka nchini Chad:IOM

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji, IOM limesema idadi kubwa ya wahamiaji na wakimbizi wanaomiminika nchini Chad wamesababisha ongezeko la mahitaji ya kibinadamu ambayo nchi hiyo hiyo pekee haiwezi kutosheleza, na hivyo kuomba ufadhili wa haraka ili kuwanusuru.

Katika mahojianao na Grace Kaneiya mseaji wa IOM Jumbe Omari jumbe anasema dola milioni tatu na nusu zinahitajika kwa dharura kuwasaidia wakimbizi na wahamiaji hao, ambao wengi wanatoka nchini Sudan, Libya na wengine Jamhuri ya Afrika ya kati.

(MAHOJIANO- JUMBE)