Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wanawake wa ukanda, Sahel, wakutana Ubelgiji

Wanawake wa ukanda, Sahel, wakutana Ubelgiji

Wanawake wa ukanda wa Sahel wamekutana mjini Brussels Ubelgiji katika kongamano la kujadili maswala ya kiuchumi na ushiriki wao katika siasa.

Mkutano huu ni hatua ya kwanza ya kuhakikisha kuwa sauti za wanawake kutoka eneo la Sahel zinasikika na kuwa maoni yao yanatiliwa maanani.

Ungana na Joseph Msami katika ripoti hii ufahamu kwa undani matumaini ya mkutano huu unaofanyika takribani mwezi mmoja tangu dunia ilipoadhimisha siku ya wanawake.