WHO yabaini faida ya kuondosha mafuta kwenye vyakula
Kupigwa marufuku aina ya mafuta yaitwayo transfats kuandalia vyakula, kumeelezwa kuwa mojawapo wa njia mwafaka zaidi kukabiliana na baadhi ya magonjwa tishio duniani, lakini pamoja na tija hiyo bado serikali nyingi zimeshindwa kuzingatia hilo.
(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)