Sheria zipo lakini hazijitoshelezi: UN Women Tanzania
Nchini Tanzania, afisa kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la masuala ya wanawake, UN-Women, Fortunata Temu ametaja ukatili wa majumbani kuwa miongoni mwa ukatili unaomkumba mwanamke wa kitanzania ambapo unahusisha vipigo, kutukanwa na kunyanyaswa. Amesema sheria zipo lakini hazitoshelezi.
(SAUTI Fortunata)