Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Marais na wanasoka wapaza sauti dhidi ya Malaria

Marais na wanasoka wapaza sauti dhidi ya Malaria

Afrika Kusini, mwenyeji wa mwaka huu wa fainali za kombe la mataifa barani AFrika, AFCON. Wakati wachezaji wakipasha misuli yao kulinda nyavu zao, mbu nao wanavinjari kwa lengo la kuwamaliza nguvu.. Malaria na ndio maana Mpango wa kudhibiti Malaria na kampeni ya pamoja dhidi ya Malaria wametoa ujumbe huu mahsusi kwa lengo la kutokomeza Malaria!