Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Zambia yawapatia ukaazi wa kudumu wakimbizi wa Angola

Zambia yawapatia ukaazi wa kudumu wakimbizi wa Angola

Serikali ya Zambia imeanza kuwapatia hadhi ya ukaazi wa kudumu baadhi ya wakimbizi wa Angola nchini humo ambao wanakidhi vigezo vya uhamiaji.

Mpango huo umeanza kufuatia usaidizi kutoka shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR na Umoja wa Afrika kwa kutoa dola Laki Moja kufanikisha mchakato huo wa kujumuisha wakimbizi wa Angola katika jamii ya Zambia. Taarifa zaidi na Jason Nyakundi

(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)