Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Kampuni ya sukari ya Mumias nchini Kenya na uhifadhi wa mazingira

Kampuni ya sukari ya Mumias nchini Kenya na uhifadhi wa mazingira

Harakati za viwanda kujaribu kuhifadhi mazingira kwa kutumia mabaki ya malighafi za bidhaa zake kuzalisha bidhaa nyingine zinazidi kushika kasi, na viwanda kuwa mifano kwa viwanda vingine kama njia mojawapo ya kuhifadhi mazingira huku zikijiibulia huduma zingine. Miongoni mwa viwanda hivyo ni kile cha sukari cha Mumias nchini Kenya ambacho sasa kinazalisha umeme kwa kutumia rojo zito la sukari, ambayo ni mabaki yatokanayo na uzalishaji wa bidhaa yake, Sukari. Assumpta Massoi na ripoti kamili:

(SAUTI YA ASSUMPTA MASSOI)