Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Haki ya mabadiliko ni muhimu kuhakikisha kuwepo kwa haki za binadamu:Greiff

Haki ya mabadiliko ni muhimu kuhakikisha kuwepo kwa haki za binadamu:Greiff

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya haki ya mabadiliko Pablo de Greiff amezishauri serikali kote duniani kukoma kuchukulia haki ya mabadiliko kama hali iliyo dhaifu.

Akitoa ripoti yake ya kwanza kabisa kwa baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa Mjumbe huyo amesema kuwa haki ya mabadiliko sio haki iliyotoweka lakini ni mkakati wa kupata haki na kumaliza ukiukaji wa haki za binadamu wakati wa mabadiliko.

Amesema ukiukaji wa haki za binadamu hauwezi kumalizwa bila ya kuwepo ukweli na haki. George Njogopa anaripoti.

(RIPOTI YA GEORGE NJOGOPA)