Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watu wa asili watoa maoni yao kuhusu Siku ya Kimataifa ya Watu wa asili

Watu wa asili watoa maoni yao kuhusu Siku ya Kimataifa ya Watu wa asili

Siku ya watu wa asili huadhimishwa kila mwaka tarehe 9 Agosti. Jason Nyakundi wa Redio wa Umoja wa Mataifa amezungumza na watu wa asili mjini Nairobi na kuwauliza watoe maoni yao kuhusu siku hii. Wasikilize.