Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Masuala ya mifugo na sayansi yapewe kipaumbele Rio+20

Masuala ya mifugo na sayansi yapewe kipaumbele Rio+20

 

Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa maendeleo endelevu yaani Rio+20 Jumatano ndio umeanza rasmi kwa viongozi wa serikali na waku wan chi kutoa hotuba.

Muafaka wa matokeo ya mktano huo uliafikiwa Jumanne , suala ambalo dnia inasema hi hatua nzuri kelekea mafanikio.

DR Bridgit Syombua , ni mtaalamu wa mifugo kutoka nchini Kenya anawakilisha shirika lisilo la kiserikali yaani NGO lijulikanalo kama AWARD . Anahudhuria mkutano wa kimataifa wa maendeleo endelevu Rio+20.

Akizugumza na Radio ya Umoja wa Mataifa Dr Bridgit anfafanua kilichomleta Rio kwenye mkutano.

(SAUTI YA DR BRIDGIT SYOMBUA)