Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Afisa wa UM aahidi msaada kutoka UM kusaidia mkoa wa Kivu

Afisa wa UM aahidi msaada kutoka UM kusaidia mkoa wa Kivu

Afisa wa Umoja wa Mataifa wa masuala ya binadamu katika jamhuri ya kidemokrasia ya congo(DRC), Bw. Fidèle Sarassoro, anaahidi kutoa msaada wa kiutu kwa wahame wa vita vya makundi yenye silaha kwenye mkoa wa kivu mwa kusini. Alisema hayo siku ya Jumanne mei 07/2012 mjini bukavu katika mkutano wake na waandishi wa habari. Mwandishi wetu kutoka Bukavu anaelezea.

(SAUTI YA FIDELE SARASSORO)