DFID kwenye makubaliono ya dola milioni 25 na FAO
Ufadhili utaboresha kilimoIdara inayohusika na maendeleo ya kimataifa nchini Uingereza DFID imetia sahihi makubaliano na shirika la kilimo na mazao la Umoja wa Mataifa FAO wa kutoa dola milioni 25 kufadhili uvumbuzi na ushirikiano mpya wa dunia ambao utaboresha takwimu za kilimo kwa serikali na wakulima kote duniani.
Jitihada za kuboresha takwimu za kilimo inazisaidia nchi zinazoendelea katika kutoa na kutumia takwimu za kilimo kwa usalama wa chakula na pia katika kuwasaidia wakulima kupata habari wanapoihitaji.
(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)