Mikakati mbalimbali ya kujikinga na kukabiliana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza
Tanzania ni moja ya mataifa hayo na waziri wake wa Afya ni mheshimiwa Haji Mponda. Alipohudhuria wa Baraza Kuu alitembelea idhaa ya Radio ya UM na kuzungumza na Flora Nducha kuhusu suala la magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Wasikilize
(SAUTI YA MHESHIMIWA MPONDA NA FLORA NDUCHA)