Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Pamoja na ARV's lishe na ushauri nasaha ni muhimu kwa wagonjwa wa ukimwi

Pamoja na ARV's lishe na ushauri nasaha ni muhimu kwa wagonjwa wa ukimwi

Wakati ripoti ya shirikika la Umoja wa Mataifa la kupambana na HIV na ukimwi UNAIDS iliyotolewa leo imesema ingawa maambukizi mapya yamepungua na vifo vitokanavyo na ukimwi vimepungua lakini matunzo kwa waathirika la lishe ni muhimu sana katika kuokoa maisha ya wagonjwa.

Mwandishi wa kujitegemea Osca Mashanga akiwa Nairobi, Kenya amefuatilia kuhusu juhudi za vituo vya afya kuelimisha, kusaidia na kutoa mafunzo na ushauri kwa wagonjwa wa ukimwi ili kusaidia kuboresha afya zao. Msikilize

(MAKALA NA OSCAR MASHANGA)