Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bila kujua kusoma na kuandika kuendelea ni vigumu:M

Bila kujua kusoma na kuandika kuendelea ni vigumu:M

Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya kufuta ujinga kwa kujua kusoma na kuandika, Umoja wa Mataifa unasema bila kutatua tatizo hilo linalowakabili watu zaidi ya milioni saba duniani amani na maendeleo itaendelea kuwa ndogo.

Pamoja na juhudi kubwa zinazoendelea lakini bado wanawake wengi na wasichana hawajapata fursa ya kujua kusoma na kuandika hasa kwenye nchi zinazoendelea na hususani maeneo ya vijijini, amesema Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon akiungwa mkono na mkurugenzi wa shirika la Umoja wa Mataifa la elimu, sayansi na utamaduni UNESCO.

Kauli hiyo inaungwa mkono na maoni ya vijana hawa kutoka Afrika Mashariki.

(MAONI KUHUSU ELIMU)