Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Walinda amani wa UM kuondolewa nchini Haiti

Walinda amani wa UM kuondolewa nchini Haiti

Wanajeshi watano wa Uruguay wanaofanya kazi na mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani Haiti MINUSTAH wamekamatwa kwa madai ya kulawiti kijana wa Kihaiti mwenye umri wa miaka 18.

Tukio hilo limebainika hadharani baada ya video ya kitendo hicho ambacho ni kinyumbe na misingi ya Umoja wa Mataifa kuonekana kwenye mtandao. MINUSTAH ina wanajeshi 9000 kwenye kisiwa hicho cha Caribean vikiwemo vikosi kutoka Uruguay. Kamanda wa vikosi vya MINUSTAH ni Meja Jenerali Luiz Ramos.

(SAUTI YA MAJOR LUIZ RAMOS)