Libya yatajwa kuwa changamoto kubwa kwa Gabon ikiwa rais wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa
Messone alikuwa ameandaa mkutano na muungano wa Afrika na baraza la usalama la Umoja wa Mataifa akiwa na matumani ya kuafikia makubalino kuhusu njia ya kuishughulikia Libya.
(SAUTI YA NOEL NELSON MESSONE)