Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Libya yatajwa kuwa changamoto kubwa kwa Gabon ikiwa rais wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa

Libya yatajwa kuwa changamoto kubwa kwa Gabon ikiwa rais wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa

 

 

Messone alikuwa ameandaa mkutano na muungano wa Afrika na baraza la usalama la Umoja wa Mataifa akiwa na matumani ya kuafikia makubalino kuhusu njia ya kuishughulikia Libya.

(SAUTI YA NOEL NELSON MESSONE)