Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashtaka dhidi ya washukiwa wa uhalifu wa kivita lazima yahusishe ubakaji

Mashtaka dhidi ya washukiwa wa uhalifu wa kivita lazima yahusishe ubakaji

Afisa wa ngazi ya juu kwenye Umoja wa Mataifa amesema kuwa washukiwa wawili wa uhalifu wa kivita waliokamatwa kwa kuhusika kwenye uhalifu katika eneo la Balkans na nchini Rwanda ni lazima wakabiliana na mashtaka ya dhuluma za kingono yaliyo mbele yao.

Ratko Madic alikamatwa nchini Serbian wiki iliyopita baada ya kukwepa kukamatwa kwa muda wa miaka 16 huku Bernard Munyagishari akimatawa katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. George Njogopa na taarifa kamili.

(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)