Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uwekezaji kwa watoto kuna fursa kubwa ya kuvunja kongwa la umaskini:UNICEF

Uwekezaji kwa watoto kuna fursa kubwa ya kuvunja kongwa la umaskini:UNICEF

Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na watoto UNICEF limesema kuwa uwekezaji wa kiasi cha dola za kimarekani bilioni 1.2 kwa watoto wenye umri kati ya miaka 10 hadi 19 kunaweza kusaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza wigo wa umaskini.

(SAUTI YA ALICE KARIUK)