UM watia ushawishi wake kutanzua mzozo wa Sudan Kusini
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan UNMIS, umekuwa na juhudi za kidiplomasia
ya uletaji suluhu baina ya makundi yanayohasimiani katika eneo la kusini la nchi
hiyo.
Athor Deng ambaye hapo kabla alikuwa kiongozi wa kundi la SPLA na baadaye kujiondoa anadhibiti miji mitatu iliyoko upande wa kusinI.