Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wakimbizi zaidi wawasili Lampedusa

Wakimbizi zaidi wawasili Lampedusa

Shirika la kimataifa la uhamiaji IOM limesema kwamba boti yenye wahamiaji haramu kutoka Tunisia iliwasili jana katika kisiwa cha Lampedusa. Kituo cha mapokezi kisiwani kimekuwa watu wengi kupita uwezo wa sehemu hiyo.