Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Uchina yapiga hatua kutoka usalama wa chakula kuingia haki ya chakula: UM

Uchina yapiga hatua kutoka usalama wa chakula kuingia haki ya chakula: UM

Uchina imepiga hatua kubwa za kiuchumi na kijamii katika miongo mitatu iliyopita na kuwatoa mamilioni ya watu wake katika umasikini, kuwafaidisha na usalama wa chakula kutokana na mafanikio hayo.

(SAUTI YA GEORGE NJOGOPA)