Mwaka wa Bayo-Anuai umemalizika kwa mafanikio na kuundwa chombo kipya: UNEP
Shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP linasema chombo kipya cha kimataifa chenye lengo la kukabiliana na kupotea kwa bayo-anuai, misitu muhimu kiuchumi duniani, viumbe vingine vya majini kimezaliwa jana, baada ya muafaka wa serikali na mkutano wa 65 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa.
(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)