Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwaka wa Bayo-Anuai umemalizika kwa mafanikio na kuundwa chombo kipya: UNEP

Mwaka wa Bayo-Anuai umemalizika kwa mafanikio na kuundwa chombo kipya: UNEP

Shirika la Umoja wa Mataifa la mazingira UNEP linasema chombo kipya cha kimataifa chenye lengo la kukabiliana na kupotea kwa bayo-anuai, misitu muhimu kiuchumi duniani, viumbe vingine vya majini kimezaliwa jana, baada ya muafaka wa serikali na mkutano wa 65 wa baraza kuu la Umoja wa Mataifa.

(SAUTI YA JASON NYAKUNDI)