Sekta ya usfirishaji wa majini inakua lakini itachukuwa muda kuimarika: UNCTAD
Ripoti ya tathimini ya usafiri wa majini iliyotolewa na shirika la maendeleo UNCTAD inakadiria kwamba biashara ya majini kwa mwaka 2009 ilikuwa tani bilioni 7.84.
(SAUTI YA LIN SAMBILI)