Hatua za kuwazuia wahamiaji kuingia Ulaya kinawanyima nafasi wahamiaji halali:UNHCR
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa linasema kuwa hatua zilizowekwa na Jumuiya ya Ulaya ili kudhibiti wahamiaji katika Bahari ya Mediterranean kunawanyima wahamiaji halali usalama wanaohitaji.
(SAUTI YA ANDREJ MAHECIC)