Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Ban asisitiza umuhimu wa jamii ya kimataifa kuzuia kutokea kwa mauaji ya halaiki

Ban asisitiza umuhimu wa jamii ya kimataifa kuzuia kutokea kwa mauaji ya halaiki

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki -moon amesisitiza kuwa kila nchi duniani inastahili kuchukua jukumu la kuzuia kutokea kwa mauaji ya halaiki.