Kugawanya manufaa ya genetiki za mimea kusaidia kulinda familia ya mimea iliyo hatarini
Waakilishi wa zaidi ya nchi 60 wakiwemo mawaziri 22 wamekusanyika mjini Rome kwa jitihada mpya za kuunga mkono mkataba wa kimataifa kuhusu genetiki za mimea inayotajwa kuwa muhimu katika kugawanya faida itokanayo na genetiki za mimea kwa chakula na kilimo.