WHO yazindua njia mpya za kupima na kutambua kwa haraka ugonjwa wa kifua kikuu
Shirika la afya duniani WHO limeanzisha njia mpya a kupima ugonjwa wa kifua kikuu ambayo itawezesha kujulikana kwa mgonjwa anyeugua ugonjwa huo kwa muda wa takriban dakika 100 kinyume na sasa ambapo ugonjwa huo unachukua karibu miezi mitatu kujulikana.