Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO yazindua njia mpya za kupima na kutambua kwa haraka ugonjwa wa kifua kikuu

WHO yazindua njia mpya za kupima na kutambua kwa haraka ugonjwa wa kifua kikuu

Shirika la afya duniani WHO limeanzisha njia mpya a kupima ugonjwa wa kifua kikuu ambayo itawezesha kujulikana kwa mgonjwa anyeugua ugonjwa huo kwa muda wa takriban dakika 100 kinyume na sasa ambapo ugonjwa huo unachukua karibu miezi mitatu kujulikana.