Wahamiaji kutoka Eritrea wazuiliwa nchini Misri :UNHCR
Shirika la kuwahudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR linasema kuwa karibu wakimbizi 250 raia wa Eritrea wanazuiliwa na waendesha bishara haramu ya binadamu katika eneo la Sinai nchini Misri.