Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Korea Kaskazi imeendesha vitendo vya uhalifu wa kivita:ICC

Korea Kaskazi imeendesha vitendo vya uhalifu wa kivita:ICC

Ofisi ya mwendesha mashtaka mkuu kwenye mahaka inayohusika na uhalifu wa kivita ya ICC inasema kuwa imepokea habari kuwa wanajeshi wa Korea Kaskazini waliendesha vitendo vya uhalifu.