UNICEF kusambaza neti za kuzuia mbu katika mkoa wa Cunene nchini Angola
Shirika la kuwahudumia watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF kwa ushirikiano na mpango wa kupambana na ugonjwa wa malaria nchini Angola watatoa neti za kuzuia mbu kwa watu hususan watoto kwenye mkoa wa Cunene nchini Angola