IOM yaendelea na juhudi kuwasaidia wahamiaji kutoka Ethiopia waliokwama Yemen.
Shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM linatarajiwa kurejea shughuli ya kuwarejesha nyumbani takriban wahamiaji 2000 kutoka Ethiopia ambao wamekwama kaskazini mwa Yemen kurejea makwao.
(SAUTI YA JEAN PHILIPPE CHAUZY)