Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Shirika la UN HABITAT latabiri kuongezeka kwa watu Afrika

Shirika la UN HABITAT latabiri kuongezeka kwa watu Afrika

Ripoti mpya ya shirika la makaazi la Umoja wa Mataifa UN HABITAT inaonyesha kuwa idadi ya watu kwenye miji ya bara la afrika huenda ikaongezeka mara tatu zaidi kwa muda wa miaka 40 inayokuja.