Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Familia za wanyama nchini Marekani na Ulaya kwenye hatari ya kuangamia

Familia za wanyama nchini Marekani na Ulaya kwenye hatari ya kuangamia

Shirika la kilimo na mazao la Umoja wa Mataifa FAO limeonya kuwa huenda familia za wanyama kwa matumizi ya binadamu na kwa kilimo zikatoweka hususan nchini Marekani na barani Ulaya.