Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Myanmar yatajwa kama moja ya nchi inayotengezaji mabomu ya ardhini

Myanmar yatajwa kama moja ya nchi inayotengezaji mabomu ya ardhini

Taifa la Myanmar limetajwa kuwa taifa tu linelotengeza mabomu ya ardhini. Kulingana na uchunguzi wa kimataifa kuhusu matumizi ya silaha ni kuwa Myanmar ni mmoja ya watengezaji wa mabomu ya ardhini huku watengezaji wengine wakiwa ni India na Pakistan.

(SAUTI YA MARK HIZNAY )