Siku ya ugonjwa kisukari duniani
Siku ya maadhimisho ya ugonjwa wa kisukari diniani ambayo itakuwa tarehe 14 mwezi huu inajiri wakati kukifanyika juhudi za kupambana na magomjwa sugu yanayosababisha usumbufu na kurudisha nyuma maendeleo kwenye nchi nyingi maskini duniani.