Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanamitindo kutoka Iceland aibuka mshindi wa shindano la Umoja wa Mataifa kuhusu vita dhidi ya umaskini

Mwanamitindo kutoka Iceland aibuka mshindi wa shindano la Umoja wa Mataifa kuhusu vita dhidi ya umaskini

Mwanamitindo wa picha kutoka nchini Iceland ndiye mshindi wa tuzo la shindano la matangazo la Umoja wa Mataifa linalotoa hamasisho barani Ulaya kuhusu malengo ya millenia ya kukabiliana na umaskini kabla ya mwaka 2015.