Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Umoja wa Mataifa walaani hatua ya kufukuzwa kazi wa majaji nchini Honduras

Umoja wa Mataifa walaani hatua ya kufukuzwa kazi wa majaji nchini Honduras

Umoja wa Mataifa umeshutumu hatua za kufukuzwa kazi kwa majaji watatu na hakimi mmoja nchini Honduras kufuatia kile kinachotajwa kuwa walitoa maoni kuhusiana na mzozo wa kiasia ulioshuhudiwa nchini humo, ukisema kuwa hatua zinawatisha wengi wa majaji katika taifa hilo la Amerika ya kati.