UNICEF imeipongeza sekta ya utalii ya Afrikakwa kupambana na ngono kwa watoto
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limeipongeza sekta ya utalii ya Afrika ya Kusini kwa jitihada zake za kuhakikisha zinakomesha biashara ya ngono ya watoto katika sekta hiyo.