Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WHO na UNICEF kusaidia mlipuko wa polio nchini Tajikistan

WHO na UNICEF kusaidia mlipuko wa polio nchini Tajikistan

Shirika la afya duniani WHO limepeleka ujumbe wa wataalamu kuchunguza kuzuka kwa polio kusini magharibi mwa Tajikistan katika maeneo ya mpakani na Afghanistan na Uzbekistan.