Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM umetanga muongo mmoja wa kudhibiti usalama barabarani

UM umetanga muongo mmoja wa kudhibiti usalama barabarani

Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa umetangaza muongo mmoja wa kuchukua hatua za kudhibiti usalama barabarani, na kipindi hicho ni kuanzia 2011 hadi 2020.