Mapigano ya kikabila yameshika kasi Sudan Kusini
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na masuala ya msaada wa kibinadamu OCHA linasema mapigano ya kikabila yameongezeka sana Sudan Kusini tangu mwezi Desemba 2009 na kuendelea hadi Januari na Februari mwaka huu wa 2010.