Watu zaidi ya milioni 12 wapatikana na saratani kila mwaka:
Leo ni siku ya kimataifa ya saratani, na mwaka huu juhudi zinaelekezwa katika kuzuia ugonjwa huo. Kwa mujibu wa shirika la afya duniani WHO, kila mwaka watu zaidi ya milioni 12 wanapimwa na kukutwa na ugonjwa wa saratani.