Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UM unaondowa vikwazo dhidi ya maafisa 5 wa zamani wa Taliban

UM unaondowa vikwazo dhidi ya maafisa 5 wa zamani wa Taliban

Maafisa watano wa zamani wa serekali ya Taliban wameondolewa kutoka orodha ya vikwazo vya Umoja wa Mataifa kabla ya kuanza kwa mkutano muhimu wa kimataifa siku ya Alhamisi mjini London, unaotarajia kuzingatia juu ya mpango wa serekali ya Afghanistan kuwarai wanaharakati kubadilisha upande.