Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mswada una tishia kupunguza juhudi za kupambana na HIV Uganda

Mswada una tishia kupunguza juhudi za kupambana na HIV Uganda

Mtaalamu maalumu wa UM kwa ajili ya masuala ya afya Anand Grover alionya Ijumaa kwamba mswada dhidi ya watu wa jinsia moja wanaopendana unaoanza kujadiliwa kwenye bunge la Uganda haukiuki tu haki msingi za binadamu za Uganda, bali utahujumu juhudi za kufikia lengo la kila mtu kupata huduma za kujikinga na HIV, matibabu na kusaidiwa.