IOM kuimarisha juhudi baada ya kufahamu haja walopeteza makazi yao Haiti
Shirika la kimataifa la Uhamiaji IOM limesema litaweza kuwapatia hadi wathiriwa elfu 25 wa tetemeko la ardhi katika mji mkuu wa Port-au-prince msaada usio wa chakula, linapoimarisha misaada yake katika maeneo matano ya mji mkuu huko Haiti.