Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

UNHCR: Idadi ya waafrika wanaokimbia kutoka pembe ya Afrika imeongezeka kwa 55%

UNHCR: Idadi ya waafrika wanaokimbia kutoka pembe ya Afrika imeongezeka kwa 55%

Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR), iliwapokea watu wepya elfu 77 802 kutoka Pembe ya Afrika mwaka 2009 ikiwa ni muongezeko wa asili mia 55 kulingana na mwaka 2008 na mara ya kwanza wa-Somali hawakua wengi kuliko watu wa mataifa mengine alieleza afisa wa uhusiano wa mambo ya kigeni wa idara hiyo Rocco Nuri.