UNHCR unatoa wito wa msaada kwa wakimbizi jamhuri ya Kongo
Shirika la UM juu ya Huduma za Wahamiaji (UNHCR) limetangaza wito wa dharura wa msaada ili kukidhi mahitaji ya wakimbizi laki moja na saba huko Jamhuri ya Kongo walokimbia ghasia katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.